Majimaji ya Songea mkoa wa Ruvuma ilifanikiwa kuchukua ubingwa wa Ligi ya Muungano mwaka 1998.
1999- Prisons yachukua ubingwa mara ya kwanza
Timu ya Tanzania Prisons ni moja kati ya timu kongwe hapa nchini ilianza kuingia katika ligi ya Dar es Salaam tokea miaka ya sitini.
Prisons inamilikiwa na Jeshi la Magereza pamoja na ukongwe wake imefanikiwa mara moja kuchukua ubingwa wa Tanzania ikiwa na mastani yake Mbeya badala ya Dar es Salaam.
1992: Malindi yachukua ubingwa wa Tanzania
1992: Malindi yachukua ubingwa wa Tanzania
Malindi ya Zanzibar ilichukua ubingwa wa Tanzania kwa mara ya pili mwaka 1992.
Malindi ya Zanzibar ilichukua ubingwa wa Tanzania kwa mara ya pili mwaka 1992.
1991-Yanga yachukua ubingwa wa Ligi ya Muungano
Ligi ya Muungano ambayo ilizikutanisha mbili zilizofanya vizuri katika Ligi ya Tanzania Bara na ligi ya Tanzania Visiwani kwa ajili ya kupata bingwa wa Muungano.
Ligi hii ilikuwa na mvuto mkubwa ingawa haikudumu kwa muda mrefu ilifutwa baada ya Zanzibar kukubaliwa kuwa mwanachama wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF).
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa Ligi ya Muungano ya kwanza mwaka 1991 ubingwa ulichukuliwa na Yanga. Yanga ilifanikiwa kuifunga Simba mabao 2-0 katika mechi ya kwanza ya ligi ya muungano, magoli yakifungwa na Athumani China na Abubakary Salum.
Katika mechi ya marudiano ya ligi hiyo ya Muungano Yanga ilishinda tena magoli 2-0 yaliyowekwa wavuni na Saidi Mwamba Kizota dk 41 na 72.
Mwaka huo huo, katika ligi ya Tanzania bara Yanga ilishinda mechi ya kwanza bao 1-0 lililofungwa na saidi Swedi Scud na mechi ya marudiano Saidi Swed Scud akafunga tena 1-0.
Ligi hii ilikuwa na mvuto mkubwa ingawa haikudumu kwa muda mrefu ilifutwa baada ya Zanzibar kukubaliwa kuwa mwanachama wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF).
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa Ligi ya Muungano ya kwanza mwaka 1991 ubingwa ulichukuliwa na Yanga. Yanga ilifanikiwa kuifunga Simba mabao 2-0 katika mechi ya kwanza ya ligi ya muungano, magoli yakifungwa na Athumani China na Abubakary Salum.
Katika mechi ya marudiano ya ligi hiyo ya Muungano Yanga ilishinda tena magoli 2-0 yaliyowekwa wavuni na Saidi Mwamba Kizota dk 41 na 72.
Mwaka huo huo, katika ligi ya Tanzania bara Yanga ilishinda mechi ya kwanza bao 1-0 lililofungwa na saidi Swedi Scud na mechi ya marudiano Saidi Swed Scud akafunga tena 1-0.
1990- Pamba yaipokonya ubingwa Malindi
Pamba ya Mwanza ilifanikiwa kuchukua ubingwa wa Tanzania mwaka 1990 uliokuwa ukishikiliwa na Malindi ya Zanzibar.
Pamba ilikuwa na kikosi imara kilichokuwa na wachezaji mahiri na kilitamba na kupachikwa jina la TP lindanda kutokana na kucheza kandanda safi.
1989 Malindi yabeba taji la ubingwa Tanzania
Timu ya Malindi ya Zanzibar enzi la ufadhili wa Nuoshard Mohamed miaka ya 80 na 90 ilikuwa moja ya timu kali iliyokuwa imesheheni wachezaji nyota wa kimataifa wa ndani na nje ya nchi.
Baada ya nyota hao ni Murdon Malitoli toka Zambia na Edibily Lunyamila ambao walifanikisha timu hiyo kutamba na mwaka 1989 ilichukua ubingwa wa Tanzania.
Baada ya nyota hao ni Murdon Malitoli toka Zambia na Edibily Lunyamila ambao walifanikisha timu hiyo kutamba na mwaka 1989 ilichukua ubingwa wa Tanzania.
1984- Timu ya Zanzibar yakuchukua ubingwa mara ya kwanza
Timu ya Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo, KMKM ya Zanzibar ambayo ilikuwa ikiitwa Navy ilichukua ubingwa wa Tanzania kwa mara ya kwanza mwaka 1984 na hivyo kuwa klabu ya kwanza ya Zanzibar kupata ubingwa huo.
1988- Pan Africans yatwaa ubingwa wa Tanzania
Timu ya Pan Africans baada ya kuchukua ubingwa wa Tanzania kwa mara ya kwanza mwaka 1982, ilirejea tena kuchukua taji hilo mara ya pili mwaka 1988.
1968-Yanga klabu ya kwanza kucheza klabu bingwa Afrika
Timu ya Yanga ndiyo klabu ya kwanza hapa nchini kushiriki mashindano ya klabu bingwa Afrika baada ya Tanzania kujiunga rasmi na Chama cha Soka Barani Afrika mwaka 1964.
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa mashindano ya klabu bingwa Afrika yalianza mwaka 1965 na klabu ya kwanza kufuzu tiketi hiyo ni Cosmopolitans mwaka 1967 ilikuwa bingwa wa Tanzania na kufuzu kushiriki mashindano hayo, lakini ilishindwa kwenda Somalia kutokana na ukata.
Mwaka uliofuata wa 1968 Yanga ilichukua ubingwa na kuifanya Tanzania kushiriki kikamilifu katika mashindano hayo kwa mara ya kwanza.
1985-Gama aanzisha Majimaji na kutwaa ubingwa wa Tanzania
Timu ya Majimaji ya Songea ambayo ilianzishwa kwa vishindo na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, hayati Lawrance Gama na kumchukua mchezaji nyota wa wakati huo, Abdallah 'King' Kibaden kuwa kocha mchezaji wa timu hiyo olifanikiwa kuvifunga vigogo vya Yanga, Simba na Pan na kuchukua ubingwa mwaka 1985.
Mbali ya Kibaden, timu hiyo ilifundishwa na kocha toka Bulgaria, Dimitar Samsarov na baadhi ya nyota kama vile Peter Tino, Octavin Mrope, Sikinde Mbunga na wengineo.
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa mashindano ya klabu bingwa Afrika yalianza mwaka 1965 na klabu ya kwanza kufuzu tiketi hiyo ni Cosmopolitans mwaka 1967 ilikuwa bingwa wa Tanzania na kufuzu kushiriki mashindano hayo, lakini ilishindwa kwenda Somalia kutokana na ukata.
Mwaka uliofuata wa 1968 Yanga ilichukua ubingwa na kuifanya Tanzania kushiriki kikamilifu katika mashindano hayo kwa mara ya kwanza.
1985-Gama aanzisha Majimaji na kutwaa ubingwa wa Tanzania
Timu ya Majimaji ya Songea ambayo ilianzishwa kwa vishindo na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, hayati Lawrance Gama na kumchukua mchezaji nyota wa wakati huo, Abdallah 'King' Kibaden kuwa kocha mchezaji wa timu hiyo olifanikiwa kuvifunga vigogo vya Yanga, Simba na Pan na kuchukua ubingwa mwaka 1985.
Mbali ya Kibaden, timu hiyo ilifundishwa na kocha toka Bulgaria, Dimitar Samsarov na baadhi ya nyota kama vile Peter Tino, Octavin Mrope, Sikinde Mbunga na wengineo.
1982-Pan Africans bingwa wa kwanza wa Super League
Historia ya klabu bingwa ya Tanzania inaonyesha kuwa vigogo vya Yanga na Simba ndivyo vinavyoongoza katika kuchukua ubingwa wa Tanzania kwa nyakati tofauti.
Vigogo hivi vimekuwa vikipokezana kombe hilo tangu kuanzishwa mwaka 1965. Timu iliyofuatia mbali ya timu hizi mbili ni Cosmopolitans mwaka 1967 ilichukua taji hilo.
Hata hivyo, wakati Super League inaanzishwa rasmi mwaka 1992, Pan Africans ya jijini Dar es Salaam ndiyo iliyochukua ubingwa huo na hivyo kuwa timu ya pili kulipapata taji hilo ukiziondoa timu za Simba na Yanga.
Vigogo hivi vimekuwa vikipokezana kombe hilo tangu kuanzishwa mwaka 1965. Timu iliyofuatia mbali ya timu hizi mbili ni Cosmopolitans mwaka 1967 ilichukua taji hilo.
Hata hivyo, wakati Super League inaanzishwa rasmi mwaka 1992, Pan Africans ya jijini Dar es Salaam ndiyo iliyochukua ubingwa huo na hivyo kuwa timu ya pili kulipapata taji hilo ukiziondoa timu za Simba na Yanga.
1978-Simba yacheza mechi ya fainali na Pamba ya Mwanza
Mwaka huu timu ya Yanga haikufanya vizuri katika klabu bingwa Tanzania kutokana na mgogoro uliosababisha kuzaliwa Pan Africans na mechi ya fainali ya ubingwa wa Tanzania ilicheza Simba na Pamba ya Mwanza.
Pamba ya Mwanza ikimilikiwa na Bodi ya Mamlaka ya Pamba ilikuwa ni moja ya timu kali hapa nchini ilicheza mechi ya fainali na Simba na
kufungwa magoli 2-1 wafungaji Jumanne Masimenti na Willy Mwaijibe.
Pamba ya Mwanza ikimilikiwa na Bodi ya Mamlaka ya Pamba ilikuwa ni moja ya timu kali hapa nchini ilicheza mechi ya fainali na Simba na
kufungwa magoli 2-1 wafungaji Jumanne Masimenti na Willy Mwaijibe.
1976-Mgogoro wa Yanga wasababisha kuzaliwa Pan Africans
Mgogoro mkubwa wa uongozi katika klabu ya Yanga uliosababisha baadhi ya wanachama maarufu wa klabu hiyo wakiongozwa na Mangala Tabu Mangala walijitenga na kujiunga na Nyota Afrika ya Morogoro na baadaye mwaka huo huo kuanzisha Pan Africans.
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa mwaka huu wa 1986, wachezaji wa kikosi cha kwanza walijiunga na Nyota Afrika ya Morogoro na kuiacha Yanga ikiwa haina wachezaji na hivyo kutolewa hatua za mapema katika ligi.
Mwaka huo Nyota Afrika iliyokuwa na wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Yanga ilicheza fainali na Simba na kufungwa bao 1-0 lililofungwa na Abbas Dilunga.
Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza waliojiunga na Pan Africans ni Kitwana Manara, Sunday Manara, marehemu Gibson Sembuli, Jellah Mtangwa, Leodger Tenga na wengine wa kikosi cha pili Mohamed Adolph Richard, Juma Pondamali, Mohamed Mkweche, Godian Mapango, Mohamed Tostao, Toto Mokili nk.
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa mwaka huu wa 1986, wachezaji wa kikosi cha kwanza walijiunga na Nyota Afrika ya Morogoro na kuiacha Yanga ikiwa haina wachezaji na hivyo kutolewa hatua za mapema katika ligi.
Mwaka huo Nyota Afrika iliyokuwa na wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Yanga ilicheza fainali na Simba na kufungwa bao 1-0 lililofungwa na Abbas Dilunga.
Baadhi ya wachezaji wa kikosi cha kwanza waliojiunga na Pan Africans ni Kitwana Manara, Sunday Manara, marehemu Gibson Sembuli, Jellah Mtangwa, Leodger Tenga na wengine wa kikosi cha pili Mohamed Adolph Richard, Juma Pondamali, Mohamed Mkweche, Godian Mapango, Mohamed Tostao, Toto Mokili nk.
1979- Simba katika maajabu ya Guiness
Timu ya Simba ilifanya maajabu ya kuingia katika kitabu cha Guiness na kuweka rekodi barani Afrika kwa kuifunga Mufurila Wanderers ya Zambia magoli 5-0 nyumbani kwao.
Simba katika mchezo wa awali uliofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam ilifungwa magoli 4-0 na Mufurila, hivyo kwenda Zambia ikiwa na matumaini finyu ya kupata ushindi. Mashabiki wengi walipendekeza timu hiyo isiende Zambia kwa hofu ya kipigo cha magoli mengi zaidi.
Simba ilikwenda Zambia kwa kutumia njia ya treni na katika pambano hilo la marudiano mgeni wa heshima alikuwa, Rais Kenneth Kaunda wa Zambia.
Magoli ya Simba yalifungwa na George Kulagwa dakika ya 12, Thuwein Ally dakika ya 19 na Abdallah Mwinyimkuu dakika ya 34. na hadi timu zinakwenda mapumziko Simba ilikuwa ikiongoza kwa mabao 3-0.
Kipindi cha pili Abbas Dilunga aliipatia Simba goli la nne dakika ya 59 na dakika ya 72 Abdallah Mwinyimkuu aliipatia Simba goli la tano .
Baada ya mchezo watanzania ambao walikuwa wakiishi Zambia waliamka vitini na kushangilia kwa nguvu zao zote. Mbali ya kushangilia huko Watanzania hao waliandaa pati iliyofanyika katika bar ya Mtanzania mwenzao Eddy Sally.
Kikosi cha Simba kilifundishwa na jopo la makocha akiwemo Joel Bendera ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
Kikosi cha simba kilipangwa hivi: Athumani Mambosasa, Daudi Salum, Mohamed Kajole, Philbert Rubibira, Hussein Tindwa, Abbas Kuka, George Kulagwa, Abdallah Mwinyimkuu, Thuwein Ally, Ismail Mwarabu, Abbas Dilunga/Abdallah Hussein.
Simba katika mchezo wa awali uliofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam ilifungwa magoli 4-0 na Mufurila, hivyo kwenda Zambia ikiwa na matumaini finyu ya kupata ushindi. Mashabiki wengi walipendekeza timu hiyo isiende Zambia kwa hofu ya kipigo cha magoli mengi zaidi.
Simba ilikwenda Zambia kwa kutumia njia ya treni na katika pambano hilo la marudiano mgeni wa heshima alikuwa, Rais Kenneth Kaunda wa Zambia.
Magoli ya Simba yalifungwa na George Kulagwa dakika ya 12, Thuwein Ally dakika ya 19 na Abdallah Mwinyimkuu dakika ya 34. na hadi timu zinakwenda mapumziko Simba ilikuwa ikiongoza kwa mabao 3-0.
Kipindi cha pili Abbas Dilunga aliipatia Simba goli la nne dakika ya 59 na dakika ya 72 Abdallah Mwinyimkuu aliipatia Simba goli la tano .
Baada ya mchezo watanzania ambao walikuwa wakiishi Zambia waliamka vitini na kushangilia kwa nguvu zao zote. Mbali ya kushangilia huko Watanzania hao waliandaa pati iliyofanyika katika bar ya Mtanzania mwenzao Eddy Sally.
Kikosi cha Simba kilifundishwa na jopo la makocha akiwemo Joel Bendera ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.
Kikosi cha simba kilipangwa hivi: Athumani Mambosasa, Daudi Salum, Mohamed Kajole, Philbert Rubibira, Hussein Tindwa, Abbas Kuka, George Kulagwa, Abdallah Mwinyimkuu, Thuwein Ally, Ismail Mwarabu, Abbas Dilunga/Abdallah Hussein.
1979- Athumani Juma, Adam Sabu wajiunga na Yanga
Wachezaji mahiri wa timu ya Simba kiungo Athumani Juma na mshambuliaji Adam Sabu walijiunga na mahasimu wa jadi Yanga.
Athumani Juma aliyekuwa na uwezo mkubwa wakumiliki mpira na kupiga mashuti ya nguvu na Sabu mshambuliaji mwenye nguvu na uwezo wa kufunga magoli, walikaa katika Yanga kwa muda wa wiki mbili.
Wachezaji hao walirejea katika timu yao ya Simba baada ya kutakiwa na wachezaji wenzao wakati wa safari ya mechi kwenda Tabora.
Wakiwa katika stesheni ya reli jijini Dar es Salaam, wachezaji walimwomba Meneja wao kutaka kuongozana na wenzao.
Meneja huyo aliwafuata majumbani kwao na kuwaeleza kuwa wanaitwa na wenzao kwa ajili ya kurejea Simba na kwenda katika ziara ya Tabora. Wachezaji hao ambao kwa sasa ni marehemu walikubali ombi hilo na kuchukua mabegi yao kuelekea stesheni kwa ajili ya safari ya Tabora.
Athumani Juma aliyekuwa na uwezo mkubwa wakumiliki mpira na kupiga mashuti ya nguvu na Sabu mshambuliaji mwenye nguvu na uwezo wa kufunga magoli, walikaa katika Yanga kwa muda wa wiki mbili.
Wachezaji hao walirejea katika timu yao ya Simba baada ya kutakiwa na wachezaji wenzao wakati wa safari ya mechi kwenda Tabora.
Wakiwa katika stesheni ya reli jijini Dar es Salaam, wachezaji walimwomba Meneja wao kutaka kuongozana na wenzao.
Meneja huyo aliwafuata majumbani kwao na kuwaeleza kuwa wanaitwa na wenzao kwa ajili ya kurejea Simba na kwenda katika ziara ya Tabora. Wachezaji hao ambao kwa sasa ni marehemu walikubali ombi hilo na kuchukua mabegi yao kuelekea stesheni kwa ajili ya safari ya Tabora.
1971-King Kibaden mchezaji bora 1971
Baada ya Sunderland kufungwa 5-0 na Yanga 1968 iliamua kubadilisha kikosi chake kwa kuwaondoa wachezaji wakongwe na kusajili wachezaji chipukizi.
Miongoni mwa chipukizi hao walikuwa Abdallah Kibaden, Willy Mwaijibe, Omary Gumbo,nk. mwaka huo Abdallah Kibaden alichaguliwa katika timu ya taifa ya Tanzania na vile vile alikuwa mwanasoka bora wa Tanzania.
Miongoni mwa chipukizi hao walikuwa Abdallah Kibaden, Willy Mwaijibe, Omary Gumbo,nk. mwaka huo Abdallah Kibaden alichaguliwa katika timu ya taifa ya Tanzania na vile vile alikuwa mwanasoka bora wa Tanzania.
1970- West Bromich yafanya ziara Tanzania
Klabu ya West Bromich Albion ya Uingereza ilifanya ziara ya mechi za kirafiki na kucheza na timu za Taifa za Taifa nchi za Afrika Mashariki na kati.
Timu hiyo iliifunga timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars 1-0, Timu ya Taifa ya Kenya, Harambee Stars 1-0 na timu ya Taifa ya Uganda The Cranes 1-0.
Kufuatia vipigo hivyo vya timu za taifa, klabu hiyo ilicheza mechi moja zaidi ya kirafiki na timu mchanganyiko ya nchi za Afrika Mashariki.
Katika mchezo huo, timu mchanganyiko ya Afrika ilitoka sare ya bao 1-1, wachezaji wa Tanzania waliochaguliwa katika timu hiyo ni Azizi, Arthur Mambeta, Mbwana, Mohamed Chuma, Hassan Chuma na Kitwana Manara.
Mchezaji pekee aliyecheza toka Tanzania alikuwa Arthur Mambeta wa Sunderland
Timu hiyo iliifunga timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars 1-0, Timu ya Taifa ya Kenya, Harambee Stars 1-0 na timu ya Taifa ya Uganda The Cranes 1-0.
Kufuatia vipigo hivyo vya timu za taifa, klabu hiyo ilicheza mechi moja zaidi ya kirafiki na timu mchanganyiko ya nchi za Afrika Mashariki.
Katika mchezo huo, timu mchanganyiko ya Afrika ilitoka sare ya bao 1-1, wachezaji wa Tanzania waliochaguliwa katika timu hiyo ni Azizi, Arthur Mambeta, Mbwana, Mohamed Chuma, Hassan Chuma na Kitwana Manara.
Mchezaji pekee aliyecheza toka Tanzania alikuwa Arthur Mambeta wa Sunderland
1971- Mayaula Mayoni apiga mbili Simba
Mwanamuziki maarufu wa miondoko ya succuss wa Kondo-RDC, Fred Mayaula Mayoni, aliwahi kuichezea Yanga 1970 wakati akiishi hapa nchini na baba yake alikuwa Balozi wa DRC.
Katika mechi ya fainali ya klabu bingwa kati ya Simba na Yanga 1971, Mayaula alifunga magoli 2-1 dhidi ya Simba. Goli la Simba lilifungwa na Omary Gumbo.
Yanga walimtumia Mbwana Abushiri kama kocha mchezaji.
Katika mechi ya fainali ya klabu bingwa kati ya Simba na Yanga 1971, Mayaula alifunga magoli 2-1 dhidi ya Simba. Goli la Simba lilifungwa na Omary Gumbo.
Yanga walimtumia Mbwana Abushiri kama kocha mchezaji.
1970- Dilunga atinga na suti uwanjani
Mshambuliaji anayeminika kuwa kuwa ndiye nyota wa jezi namba 10 hapa nchini katika miaka ya 70, Maulid Dilunga wa Yanga alifanya kejeli dhidi ya mahasimu wao wa jadi Simba.
Dilunga alifunga goli kabla ya mapumziko katika mechi ya fainali ya klabu bingwa dhidi ya Simba ambapo matokeo hadi mapumziko yalikuwa Yanga 1-0.
Dilunga hakurudi uwanjani kipindi cha pili, badala yake alikwenda nyumbani kwa muda, kishaaliporejea uwanjani alikuwa amebadili mavazi na kuvaa suti. Mpira ulipomalizika, Yanga ilishinda 1-0.
Dilunga alifunga goli kabla ya mapumziko katika mechi ya fainali ya klabu bingwa dhidi ya Simba ambapo matokeo hadi mapumziko yalikuwa Yanga 1-0.
Dilunga hakurudi uwanjani kipindi cha pili, badala yake alikwenda nyumbani kwa muda, kishaaliporejea uwanjani alikuwa amebadili mavazi na kuvaa suti. Mpira ulipomalizika, Yanga ilishinda 1-0.
Julai 20,1977- Simba 6 Yanga 0
Ilichukua miaka tisa timu ya Simba kulipiza kisasi cha magoli 5-0 dhidi ya Yanga katika mechi ya kuwania ubingwa wa Tanzana iliopigwa Jumanne Julai 20, 1977 kwenye uwanja wa Taifa (Uhuru).
Mahasimu hawa wa jadi walikutana na Simba kuibuka na ushindi wa mabao 6-0. Magoli yalifungwa na Abdallah Kibaden (dk 25,40,44), Selemani Saidi Sanga (beki wa kushoto wa Yanga aliyejifunga mwenyewe na (dk 30),Jumanne Hassan Macimental(dk 60,74).
Kikosi cha Simba:
Omary Mahadhi, Daudi Salum, Mohamed Kajole,Aloo Mwitu,
Mohamed Tall, Athumani Juma,Willy Mwaijibe, Aluu Ally, Jumanne Hassan,Abdallah Kibaden na Martin Kikwa/Abbas Dilunga.
Yanga: Yanga: Benard Madale, Charles Boniface, Selemani saidi, Mwanga,Freddy, Jongo, Sam Kampambe, Shabani Katwila, Ezekiel Greyson, Mwinda Ramadhan, Yanga Bwanga na Ayoub/Mrisho Caraby.
Mahasimu hawa wa jadi walikutana na Simba kuibuka na ushindi wa mabao 6-0. Magoli yalifungwa na Abdallah Kibaden (dk 25,40,44), Selemani Saidi Sanga (beki wa kushoto wa Yanga aliyejifunga mwenyewe na (dk 30),Jumanne Hassan Macimental(dk 60,74).
Kikosi cha Simba:
Omary Mahadhi, Daudi Salum, Mohamed Kajole,Aloo Mwitu,
Mohamed Tall, Athumani Juma,Willy Mwaijibe, Aluu Ally, Jumanne Hassan,Abdallah Kibaden na Martin Kikwa/Abbas Dilunga.
Yanga: Yanga: Benard Madale, Charles Boniface, Selemani saidi, Mwanga,Freddy, Jongo, Sam Kampambe, Shabani Katwila, Ezekiel Greyson, Mwinda Ramadhan, Yanga Bwanga na Ayoub/Mrisho Caraby.
Juni 1,1968- Yanga 5 Simba 0
Yanga iliweka rekodi ya kuifunga magoli mengi Sunderland (Simba) Juni 1,1968 kwenye mchezo wa klabu bingwa ya nchi uliopigwa uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
Katika mchezo huo Simba ilifungwa 5-0, magoli ya Yanga yalifungwa na Maulidi Dilunga kwa njia ya penalti (dk 18,43), Salehe Zimbwe (dk 54,89),Kitwana Manara (dk 86).
Yanga ilimwazima Salehe Zimbwe toka Tanga na kumtumia Gilbert Mahinya wa Simba kutokana na wakati huo hakukuwa na kanuni ya usajili rasmi.
Katika mchezo huo Simba ilifungwa 5-0, magoli ya Yanga yalifungwa na Maulidi Dilunga kwa njia ya penalti (dk 18,43), Salehe Zimbwe (dk 54,89),Kitwana Manara (dk 86).
Yanga ilimwazima Salehe Zimbwe toka Tanga na kumtumia Gilbert Mahinya wa Simba kutokana na wakati huo hakukuwa na kanuni ya usajili rasmi.
Unajua Chalenji ilikotokea?
Historia ya mashindano ya Kombe la Chalenji inayoshirikisha nchi za Afrika Mashariki na Kati ilianza mwaka 1926 wakati Tajiri, William Gossage aliyekuwa akimiliki kiwanda cha kutengeneza sabuni nchini Kenya, kutoa kombe la 'Ujirani mwema'lililoshindaniwa na nchi za Kenya na Uganda.
Tanganyika ilijiunga na mashindano hayo ya Gossage mwaka 1945 na kufuatiwa na Zanzibar mwaka 1949.
Nchi nyingine zilizojiunga na kombe hilo ni Malawi na Zambia ambazo hata hivyo zilijiondoa na kujiunga na Shirikisho la Vyama vya Michezo Kusini mwa Afrika (COSAFA) kwa madai kuwa nchi za Afrika mashariki zilikuwa na ushindani mdogo, tofauti na ushindani uliokuwepo kusini mwa Afrika.
Michuano hiyo iliendelea kuzivutia nchi za Ethiopia, Sudan na Somalia ambazo zilijiunga na kuifanya michuano hiyo kupanuka zaidi kutokana na nchi za Afrika Kati kuongeza nguvu.
Aidha, nchi za Rwanda, Burundi, Elitrea na Djibout nazo zilijiunga na kufikisha idadi ya nchi 12.
Subscribe to:
Posts (Atom)