Baada ya Sunderland kufungwa 5-0 na Yanga 1968 iliamua kubadilisha kikosi chake kwa kuwaondoa wachezaji wakongwe na kusajili wachezaji chipukizi.
Miongoni mwa chipukizi hao walikuwa Abdallah Kibaden, Willy Mwaijibe, Omary Gumbo,nk. mwaka huo Abdallah Kibaden alichaguliwa katika timu ya taifa ya Tanzania na vile vile alikuwa mwanasoka bora wa Tanzania.