TEMBELEA KILA WIKI, SOMA HABARI MPYA. USIKOSE MENGI MENGINEYO WIKI IJAYO. TUPO MAHIRI KUKUHABARISHA PATA VITU VIPYA HAPA. PATA BURUDANI ,HADITHI NA MATUKIO YA MICHEZO KILA JUMA.

1971-King Kibaden mchezaji bora 1971

Baada ya Sunderland kufungwa 5-0 na Yanga 1968 iliamua kubadilisha kikosi chake kwa kuwaondoa wachezaji wakongwe na kusajili wachezaji chipukizi.

Miongoni mwa chipukizi hao walikuwa Abdallah Kibaden, Willy Mwaijibe, Omary Gumbo,nk. mwaka huo Abdallah Kibaden alichaguliwa katika timu ya taifa ya Tanzania na vile vile  alikuwa mwanasoka bora wa Tanzania.