TUNAKARIBISHA MATANGAZO KATIKA SEHEMU HII,
PIA TUTAKUWEZESHA KUWAFIKIA WATU WENGI KWA WAKATI MMOJA, TANGAZA NASI PIGA SIMU NO; 0715 139262 / 0787 139262.
1984- Timu ya Zanzibar yakuchukua ubingwa mara ya kwanza
Timu ya Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo, KMKM ya Zanzibar ambayo ilikuwa ikiitwa Navy ilichukua ubingwa wa Tanzania kwa mara ya kwanza mwaka 1984 na hivyo kuwa klabu ya kwanza ya Zanzibar kupata ubingwa huo.