TUNAKARIBISHA MATANGAZO KATIKA SEHEMU HII,
PIA TUTAKUWEZESHA KUWAFIKIA WATU WENGI KWA WAKATI MMOJA, TANGAZA NASI PIGA SIMU NO; 0715 139262 / 0787 139262.
1988- Pan Africans yatwaa ubingwa wa Tanzania
Timu ya Pan Africans baada ya kuchukua ubingwa wa Tanzania kwa mara ya kwanza mwaka 1982, ilirejea tena kuchukua taji hilo mara ya pili mwaka 1988.