TEMBELEA KILA WIKI, SOMA HABARI MPYA. USIKOSE MENGI MENGINEYO WIKI IJAYO. TUPO MAHIRI KUKUHABARISHA PATA VITU VIPYA HAPA. PATA BURUDANI ,HADITHI NA MATUKIO YA MICHEZO KILA JUMA.

1988- Pan Africans yatwaa ubingwa wa Tanzania

Timu ya Pan Africans baada ya kuchukua ubingwa wa Tanzania kwa mara ya kwanza mwaka 1982, ilirejea tena kuchukua taji hilo mara ya pili mwaka 1988.