TEMBELEA KILA WIKI, SOMA HABARI MPYA. USIKOSE MENGI MENGINEYO WIKI IJAYO. TUPO MAHIRI KUKUHABARISHA PATA VITU VIPYA HAPA. PATA BURUDANI ,HADITHI NA MATUKIO YA MICHEZO KILA JUMA.

1978-Simba yacheza mechi ya fainali na Pamba ya Mwanza

Mwaka huu timu ya Yanga haikufanya vizuri katika klabu bingwa Tanzania kutokana na mgogoro uliosababisha kuzaliwa Pan Africans na mechi ya fainali ya ubingwa wa Tanzania ilicheza Simba na Pamba ya Mwanza.

Pamba ya Mwanza ikimilikiwa na Bodi ya Mamlaka ya Pamba ilikuwa ni moja ya timu kali hapa nchini ilicheza mechi ya fainali na Simba na  
kufungwa magoli 2-1 wafungaji Jumanne Masimenti na Willy Mwaijibe.