Pamba ya Mwanza ilifanikiwa kuchukua ubingwa wa Tanzania mwaka 1990 uliokuwa ukishikiliwa na Malindi ya Zanzibar.
Pamba ilikuwa na kikosi imara kilichokuwa na wachezaji mahiri na kilitamba na kupachikwa jina la TP lindanda kutokana na kucheza kandanda safi.