Timu ya Malindi ya Zanzibar enzi la ufadhili wa Nuoshard Mohamed miaka ya 80 na 90 ilikuwa moja ya timu kali iliyokuwa imesheheni wachezaji nyota wa kimataifa wa ndani na nje ya nchi.
Baada ya nyota hao ni Murdon Malitoli toka Zambia na Edibily Lunyamila ambao walifanikisha timu hiyo kutamba na mwaka 1989 ilichukua ubingwa wa Tanzania.