Nchi za Afrika Mashariki Tanzania, Kenya na Uganda zilianza mchezo wa soka mwanzoni mwa mwaka 1920 baada ya Waingereza kuingia Afrika Mashariki wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia 1914 na Vita Kuu ya Pili 1945.
Dk Omari Ali Juma akipeana mkono na nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Hussein Masha wakati wa pambano la kirafiki la kimataifa na timu ya Taifa ya Uganda (The Cranes) kwenye uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam.