TEMBELEA KILA WIKI, SOMA HABARI MPYA. USIKOSE MENGI MENGINEYO WIKI IJAYO. TUPO MAHIRI KUKUHABARISHA PATA VITU VIPYA HAPA. PATA BURUDANI ,HADITHI NA MATUKIO YA MICHEZO KILA JUMA.

2005 - Fainali za Vijana Afrika

Tanzania ilipata nafasi ya kucheza fainali za Vijana Afrika nchini Mali mwaka 2005, lakini kwa bahati mbaya, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) liliinyang'anya Tanzania nafasi hiyo baada ya kubainika kuwa ilimchezesha ilipoteza Nurdin Bakari ambaye alibaini kudanyanga umri.
Nafasi ya Tanzania ilipewa Zimbabwe.