TUNAKARIBISHA MATANGAZO KATIKA SEHEMU HII,
PIA TUTAKUWEZESHA KUWAFIKIA WATU WENGI KWA WAKATI MMOJA, TANGAZA NASI PIGA SIMU NO; 0715 139262 / 0787 139262.
Je wajua
Soka Afrika Mashariki
Nchi za Afrika Mashariki Tanzania, Kenya na Uganda zilianza mchezo wa soka mwanzoni mwa mwaka 1920 baada ya Waingereza kuingia Afrika Mashariki wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia 1914 na Vita Kuu ya Pili 1945.