TEMBELEA KILA WIKI, SOMA HABARI MPYA. USIKOSE MENGI MENGINEYO WIKI IJAYO. TUPO MAHIRI KUKUHABARISHA PATA VITU VIPYA HAPA. PATA BURUDANI ,HADITHI NA MATUKIO YA MICHEZO KILA JUMA.

Je wajua

 Soka Afrika Mashariki

Nchi za Afrika Mashariki Tanzania, Kenya na Uganda zilianza mchezo wa soka mwanzoni mwa mwaka 1920 baada ya Waingereza kuingia Afrika Mashariki wakati wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia 1914 na Vita Kuu ya Pili 1945.